Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 12:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Siku hiyo hakika utasema:

      “Ninakushukuru, Ee Yehova,

      Kwa maana ingawa ulinikasirikia,

      Hasira yako ilipoa hatua kwa hatua, nawe ukanifariji.+

  • Yeremia 33:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 “‘Tazama! Siku zinakuja,’ asema Yehova, ‘nitakapotimiza ahadi nzuri niliyotoa kuhusu nyumba ya Israeli na nyumba ya Yuda.+

  • Zekaria 8:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 “Yehova anasema hivi: ‘Nitarudi Sayuni+ na kukaa Yerusalemu;+ na Yerusalemu litaitwa jiji la ukweli,*+ na mlima wa Yehova wa majeshi utaitwa mlima mtakatifu.’”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki