Isaya 12:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Siku hiyo hakika utasema: “Ninakushukuru, Ee Yehova,Kwa maana ingawa ulinikasirikia,Hasira yako ilipoa hatua kwa hatua, nawe ukanifariji.+ Yeremia 33:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “‘Tazama! Siku zinakuja,’ asema Yehova, ‘nitakapotimiza ahadi nzuri niliyotoa kuhusu nyumba ya Israeli na nyumba ya Yuda.+ Zekaria 8:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 “Yehova anasema hivi: ‘Nitarudi Sayuni+ na kukaa Yerusalemu;+ na Yerusalemu litaitwa jiji la ukweli,*+ na mlima wa Yehova wa majeshi utaitwa mlima mtakatifu.’”+
12 Siku hiyo hakika utasema: “Ninakushukuru, Ee Yehova,Kwa maana ingawa ulinikasirikia,Hasira yako ilipoa hatua kwa hatua, nawe ukanifariji.+
14 “‘Tazama! Siku zinakuja,’ asema Yehova, ‘nitakapotimiza ahadi nzuri niliyotoa kuhusu nyumba ya Israeli na nyumba ya Yuda.+
3 “Yehova anasema hivi: ‘Nitarudi Sayuni+ na kukaa Yerusalemu;+ na Yerusalemu litaitwa jiji la ukweli,*+ na mlima wa Yehova wa majeshi utaitwa mlima mtakatifu.’”+