-
Ezekieli 40:2, 3Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
2 Kupitia maono kutoka kwa Mungu, alinileta katika nchi ya Israeli na kuniweka juu ya mlima mrefu sana,+ na juu yake kulikuwa na jengo lililoonekana kama jiji, upande wa kusini.
3 Aliponipeleka huko, niliona mtu fulani ambaye alionekana kama shaba.+ Alikuwa na kamba ya kitani na utete wa kupimia* mkononi mwake,+ naye alikuwa amesimama langoni.
-