Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 31:38, 39
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 “Tazama! Siku zinakuja,” asema Yehova, “ambapo jiji litajengwa+ kwa ajili ya Yehova kutoka Mnara wa Hananeli+ mpaka Lango la Pembeni.+ 39 Nayo kamba ya kupimia+ itaenda moja kwa moja mpaka kwenye kilima cha Garebu, nayo itageuka na kuelekea Goa.

  • Ezekieli 40:2, 3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Kupitia maono kutoka kwa Mungu, alinileta katika nchi ya Israeli na kuniweka juu ya mlima mrefu sana,+ na juu yake kulikuwa na jengo lililoonekana kama jiji, upande wa kusini.

      3 Aliponipeleka huko, niliona mtu fulani ambaye alionekana kama shaba.+ Alikuwa na kamba ya kitani na utete wa kupimia* mkononi mwake,+ naye alikuwa amesimama langoni.

  • Zekaria 2:1, 2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Nami nikatazama juu na kumwona mtu akiwa na kamba ya kupimia+ mkononi mwake. 2 Kwa hiyo nikamuuliza: “Unaenda wapi?”

      Akanijibu: “Naenda kupima jiji la Yerusalemu, ili nijue upana wake na urefu wake.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki