Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezekieli 47:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Mtu huyo alipotoka nje kuelekea mashariki akiwa na kamba ya kupimia mkononi mwake,+ alipima mikono 1,000* na kunipitisha katika maji; maji hayo yalifika kwenye vifundo vya miguu.

  • Zekaria 2:1, 2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Nami nikatazama juu na kumwona mtu akiwa na kamba ya kupimia+ mkononi mwake. 2 Kwa hiyo nikamuuliza: “Unaenda wapi?”

      Akanijibu: “Naenda kupima jiji la Yerusalemu, ili nijue upana wake na urefu wake.”+

  • Ufunuo 11:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Nami nikapewa utete unaofanana na fimbo,*+ nikaambiwa: “Simama upime patakatifu pa hekalu la Mungu na madhabahu na wale wanaoabudu ndani yake.

  • Ufunuo 21:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Basi yule aliyekuwa akizungumza nami alikuwa ameshika utete wa kupimia wa dhahabu ili alipime lile jiji na malango yake na ukuta wake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki