Yeremia 31:38, 39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 “Tazama! Siku zinakuja,” asema Yehova, “ambapo jiji litajengwa+ kwa ajili ya Yehova kutoka Mnara wa Hananeli+ mpaka Lango la Pembeni.+ 39 Nayo kamba ya kupimia+ itaenda moja kwa moja mpaka kwenye kilima cha Garebu, nayo itageuka na kuelekea Goa.
38 “Tazama! Siku zinakuja,” asema Yehova, “ambapo jiji litajengwa+ kwa ajili ya Yehova kutoka Mnara wa Hananeli+ mpaka Lango la Pembeni.+ 39 Nayo kamba ya kupimia+ itaenda moja kwa moja mpaka kwenye kilima cha Garebu, nayo itageuka na kuelekea Goa.