Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezra 3:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Mwezi wa saba+ ulipofika Waisraeli* walikuwa katika majiji yao; wakakusanyika Yerusalemu wakiwa na kusudi moja.

  • Isaya 11:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Atainua ishara* kwa ajili ya mataifa na kuwakusanya watu wa Israeli+ waliotawanywa, na watu wa Yuda waliotawanywa atawakusanya pamoja kutoka katika pembe nne za dunia.+

  • Yeremia 3:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 “Siku hizo watatembea pamoja, nyumba ya Yuda kando ya nyumba ya Israeli,+ na pamoja watatoka katika nchi ya kaskazini na kuingia katika nchi niliyowapa mababu zenu kuwa urithi.+

  • Ezekieli 37:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 waambie, ‘Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: “Nitakichukua kijiti cha Yosefu, kilicho mkononi mwa Efraimu, na makabila ya Israeli yaliyo pamoja naye, nami nitakiunganisha na kijiti cha Yuda; nami nitavifanya viwe kijiti kimoja,+ navyo vitakuwa kijiti kimoja mkononi mwangu.”’

  • Mika 2:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kwa hakika nitawakusanya ninyi nyote, enyi watu wa Yakobo;

      Kwa kweli nitawakusanya pamoja wale wanaobaki wa Israeli.+

      Kwa umoja nitawaweka kama kondoo zizini,

      Kama kundi la kondoo katika malisho yake;+

      Litakuwa na kelele za watu.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki