-
Yeremia 31:7, 8Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
7 Kwa maana Yehova anasema hivi:
“Mlilieni Yakobo kwa shangwe.
Pigeni vigelegele vya shangwe kwa sababu mko juu ya mataifa.+
Tangazeni jambo hilo; sifuni na kusema,
‘Ee Yehova, waokoe watu wako, Waisraeli wanaobaki.’+
8 Ninawarudisha kutoka nchi ya kaskazini.+
Nitawakusanya pamoja kutoka sehemu za mbali zaidi za dunia.+
Miongoni mwao kutakuwa na vipofu na vilema,+
Mwanamke mwenye mimba na yule anayezaa, wote pamoja.
Watarudi hapa wakiwa kutaniko kubwa.+
-