Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 147:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Yehova analijenga Yerusalemu;+

      Huwakusanya pamoja watu wa Israeli waliotawanywa.+

  • Isaya 56:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, anayewakusanya waliotawanyika wa Israeli,+ anasema hivi:

      “Nitawakusanya wengine wajiunge naye mbali na wale ambao tayari wamekusanywa.”+

  • Ezekieli 34:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Nitawatunza kondoo wangu kama mchungaji ambaye amewapata kondoo wake waliotawanyika na kuwalisha.+ Nitawaokoa kutoka katika maeneo yote walikotawanyika siku ya mawingu na giza zito.+

  • Ezekieli 34:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “Aliyepotea nitamtafuta,+ anayetangatanga nitamrudisha, aliyejeruhiwa nitamfunga, na aliye dhaifu nitamtia nguvu; lakini aliyenona na aliye na nguvu nitamwangamiza. Huyo nitamlisha hukumu.”

  • Ezekieli 37:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 “Kisha uwaambie, ‘Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: “Nitawachukua Waisraeli kutoka katika mataifa ambako walienda, nami nitawakusanya pamoja kutoka kila upande na kuwaleta katika nchi yao.+

  • Sefania 3:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Tazama! Wakati huo nitawachukulia hatua wote wanaokukandamiza;+

      Nami nitamwokoa yule anayechechemea,+

      Nitawakusanya pamoja waliotawanyika.+

      Nitawafanya kuwa kitu cha sifa na umaarufu*

      Katika kila nchi ambamo waliaibishwa.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki