Mika 4:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “Siku hiyo,” asema Yehova,“Nitamkusanya yule aliyekuwa akichechemea,Na kumkusanya pamoja yule aliyetawanyika,+Pamoja na wale niliowatesa. Mathayo 15:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Yesu akajibu: “Sikutumwa kwa yeyote isipokuwa kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli.”+ Luka 15:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 “Ikiwa mmoja wenu ana kondoo 100, naye ampoteze mmoja, je, hatawaacha wale 99 nyikani aende kumtafuta yule aliyepotea mpaka ampate?+
6 “Siku hiyo,” asema Yehova,“Nitamkusanya yule aliyekuwa akichechemea,Na kumkusanya pamoja yule aliyetawanyika,+Pamoja na wale niliowatesa.
4 “Ikiwa mmoja wenu ana kondoo 100, naye ampoteze mmoja, je, hatawaacha wale 99 nyikani aende kumtafuta yule aliyepotea mpaka ampate?+