Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezekieli 34:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “‘Kwa maana Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: “Mimi nipo hapa, na mimi mwenyewe nitawatafuta kondoo wangu na kuwatunza.+

  • Ezekieli 34:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “Aliyepotea nitamtafuta,+ anayetangatanga nitamrudisha, aliyejeruhiwa nitamfunga, na aliye dhaifu nitamtia nguvu; lakini aliyenona na aliye na nguvu nitamwangamiza. Huyo nitamlisha hukumu.”

  • Mathayo 18:12, 13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “Mnaonaje? Mtu akiwa na kondoo 100 na mmoja apotee,+ je, hatawaacha wale 99 mlimani na kwenda kumtafuta yule aliyepotea?+ 13 Naye akimpata, hakika ninawaambia, yeye humshangilia huyo kuliko wale 99 ambao hawakupotea.

  • Luka 19:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa maana Mwana wa binadamu alikuja kutafuta na kuokoa kilichopotea.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki