Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 17:34, 35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Ndipo Daudi akamwambia Sauli: “Mimi mtumishi wako nimekuwa nikichunga kondoo wa baba yangu, na simba+ akaja, na pia dubu, na kila mmoja wao akamchukua kondoo kutoka kundini. 35 Nilimfuata, nikamuua na kumwokoa kondoo kutoka kinywani mwake. Aliporuka ili kunishambulia, nilimkamata manyoya yake,* nikampiga, na kumuua.

  • Zaburi 80:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 80 Ee Mchungaji wa Israeli, sikiliza,

      Wewe unayemwongoza Yosefu kama kundi la kondoo.+

      Wewe unayeketi kwenye kiti cha ufalme juu ya* makerubi,+

      Angaza.*

  • Isaya 56:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, anayewakusanya waliotawanyika wa Israeli,+ anasema hivi:

      “Nitawakusanya wengine wajiunge naye mbali na wale ambao tayari wamekusanywa.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki