Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 77:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Uliwaongoza watu wako kama kundi la kondoo,+

      Chini ya uangalizi* wa Musa na Haruni.+

  • Isaya 40:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Atalitunza* kundi lake kama mchungaji.+

      Atawakusanya pamoja wanakondoo kwa mkono wake,

      Naye atawabeba kwenye kifua chake.

      Atawaongoza kwa upole wale wanaonyonyesha watoto wao.+

  • Yeremia 31:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Sikieni neno la Yehova, enyi mataifa,

      Na mlitangaze kati ya visiwa vilivyo mbali sana:+

      “Yule aliyemtawanya Israeli atamkusanya pamoja.

      Atamlinda kama mchungaji anavyochunga kundi lake.+

  • Ezekieli 34:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Nitawatunza kondoo wangu kama mchungaji ambaye amewapata kondoo wake waliotawanyika na kuwalisha.+ Nitawaokoa kutoka katika maeneo yote walikotawanyika siku ya mawingu na giza zito.+

  • 1 Petro 2:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Kwa maana mlikuwa kama kondoo wanaopotea njia,+ lakini sasa mmerudi kwa mchungaji+ na mwangalizi wa nafsi zenu.*

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki