Isaya 11:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Siku hiyo Yehova ataunyoosha tena mkono wake, mara ya pili, ili kuwakomboa watu wake waliobaki kutoka Ashuru,+ kutoka Misri,+ kutoka Pathrosi,+ kutoka Kushi,+ kutoka Elamu,+ kutoka Shinari,*+ kutoka Hamathi, na kutoka katika visiwa vya bahari. Isaya 42:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Mwimbieni Yehova wimbo mpya,+Sifa yake kutoka kwenye miisho ya dunia,+Ninyi mnaoshuka baharini na pia vyote vinavyoijaza,Ninyi visiwa na wakaaji wake.+
11 Siku hiyo Yehova ataunyoosha tena mkono wake, mara ya pili, ili kuwakomboa watu wake waliobaki kutoka Ashuru,+ kutoka Misri,+ kutoka Pathrosi,+ kutoka Kushi,+ kutoka Elamu,+ kutoka Shinari,*+ kutoka Hamathi, na kutoka katika visiwa vya bahari.
10 Mwimbieni Yehova wimbo mpya,+Sifa yake kutoka kwenye miisho ya dunia,+Ninyi mnaoshuka baharini na pia vyote vinavyoijaza,Ninyi visiwa na wakaaji wake.+