Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 63:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Nao wakazikumbuka siku za zamani,

      Siku za Musa mtumishi wake:

      “Yuko wapi Yule aliyewapandisha kutoka katika bahari+ pamoja na wachungaji wa kundi lake?+

      Yuko wapi Yule aliyetia ndani yake roho Yake takatifu,+

  • Matendo 7:35, 36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Huyo Musa ambaye walimkana wakisema: ‘Ni nani aliyekuweka uwe mtawala na mwamuzi?’+ ndiye ambaye Mungu alimtuma+ akiwa mtawala na mkombozi kupitia malaika aliyemtokea katika kichaka cha miiba. 36 Yeye ndiye aliyewaongoza watoke huko,+ akifanya mambo ya ajabu* na ishara huko Misri+ na kwenye Bahari Nyekundu+ na nyikani kwa miaka 40.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki