-
Isaya 63:11Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
11 Nao wakazikumbuka siku za zamani,
Siku za Musa mtumishi wake:
“Yuko wapi Yule aliyewapandisha kutoka katika bahari+ pamoja na wachungaji wa kundi lake?+
Yuko wapi Yule aliyetia ndani yake roho Yake takatifu,+
-
Matendo 7:35, 36Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
35 Huyo Musa ambaye walimkana wakisema: ‘Ni nani aliyekuweka uwe mtawala na mwamuzi?’+ ndiye ambaye Mungu alimtuma+ akiwa mtawala na mkombozi kupitia malaika aliyemtokea katika kichaka cha miiba. 36 Yeye ndiye aliyewaongoza watoke huko,+ akifanya mambo ya ajabu* na ishara huko Misri+ na kwenye Bahari Nyekundu+ na nyikani kwa miaka 40.+
-
-
-