Kutoka 14:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Kwa hiyo Yehova akawaokoa Waisraeli siku hiyo kutoka mikononi mwa Wamisri,+ nao Waisraeli wakawaona Wamisri wakiwa wamekufa kwenye ufuo wa bahari. Isaya 51:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Je, si wewe uliyeikausha bahari, maji ya kilindi kikubwa?+ Uliyevifanya vilindi vya bahari kuwa njia ili watu waliokombolewa wavuke?+
30 Kwa hiyo Yehova akawaokoa Waisraeli siku hiyo kutoka mikononi mwa Wamisri,+ nao Waisraeli wakawaona Wamisri wakiwa wamekufa kwenye ufuo wa bahari.
10 Je, si wewe uliyeikausha bahari, maji ya kilindi kikubwa?+ Uliyevifanya vilindi vya bahari kuwa njia ili watu waliokombolewa wavuke?+