Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 53:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Sisi sote tumetangatanga kama kondoo,+

      Kila mmoja ameifuata njia yake mwenyewe,

      Na Yehova amefanya dhambi yetu sote ikutane naye.+

  • Mathayo 10:5, 6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Yesu akawatuma hao 12 na kuwaagiza:+ “Msiende katika barabara ya mataifa, wala msiingie katika jiji lolote la Wasamaria;+ 6 badala yake, nendeni kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli.+

  • Matendo 3:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Baada ya Mungu kumwinua Mtumishi wake, alimtuma kwenu kwanza+ ili awabariki ninyi kwa kumgeuza kila mmoja wenu aache matendo yake maovu.”

  • Matendo 13:46
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 46 Kisha Paulo na Barnaba wakawaambia hivi kwa ujasiri: “Ilikuwa lazima neno la Mungu lihubiriwe kwenu kwanza.+ Kwa kuwa mnalikataa na kujiona hamstahili uzima wa milele, tazameni! tunawageukia mataifa.+

  • Waroma 15:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Kwa maana ninawaambia kwamba Kristo alikuwa mhudumu wa wale waliotahiriwa+ kwa ajili ya ukweli wa Mungu, ili kuthibitisha ahadi ambazo Yeye aliwapa mababu zao,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki