5 Yesu akawatuma hao 12 na kuwaagiza:+ “Msiende katika barabara ya mataifa, wala msiingie katika jiji lolote la Wasamaria;+6 badala yake, nendeni kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli.+
46 Kisha Paulo na Barnaba wakawaambia hivi kwa ujasiri: “Ilikuwa lazima neno la Mungu lihubiriwe kwenu kwanza.+ Kwa kuwa mnalikataa na kujiona hamstahili uzima wa milele, tazameni! tunawageukia mataifa.+
8 Kwa maana ninawaambia kwamba Kristo alikuwa mhudumu wa wale waliotahiriwa+ kwa ajili ya ukweli wa Mungu, ili kuthibitisha ahadi ambazo Yeye aliwapa mababu zao,+