Isaya 1:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kama Yehova wa majeshi hangetuachia waokokaji wachache,Tungekuwa kama Sodoma,Na tungefanana na Gomora.+ Yeremia 23:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 “Kisha nitawakusanya kondoo wangu waliobaki kutoka katika nchi zote ambako nilikuwa nimewatawanya,+ nami nitawarudisha kwenye malisho yao,+ nao watazaana na kuwa wengi.+ Yoeli 2:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Na kila mtu anayeliitia jina la Yehova ataokolewa;+Kwa maana kwenye Mlima Sayuni na katika Yerusalemu kutakuwa na wale wanaosalimika,+ kama Yehova alivyosema,Waokokaji wanaoitwa na Yehova.”
9 Kama Yehova wa majeshi hangetuachia waokokaji wachache,Tungekuwa kama Sodoma,Na tungefanana na Gomora.+
3 “Kisha nitawakusanya kondoo wangu waliobaki kutoka katika nchi zote ambako nilikuwa nimewatawanya,+ nami nitawarudisha kwenye malisho yao,+ nao watazaana na kuwa wengi.+
32 Na kila mtu anayeliitia jina la Yehova ataokolewa;+Kwa maana kwenye Mlima Sayuni na katika Yerusalemu kutakuwa na wale wanaosalimika,+ kama Yehova alivyosema,Waokokaji wanaoitwa na Yehova.”