Matendo 2:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Na kila mtu anayeliitia jina la Yehova* ataokolewa.”’+ Waroma 10:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa maana “kila mtu anayeliitia jina la Yehova* ataokolewa.”+