Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoeli 2:28-32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Kisha nitaimimina roho yangu+ juu ya kila aina ya mwili,

      Na wana wenu na mabinti wenu watatoa unabii,

      Na wanaume wenu wazee wataota ndoto,

      Na wanaume wenu vijana wataona maono.+

      29 Na hata juu ya watumwa wangu wa kiume na watumwa wa kike

      Nitaimimina roho yangu siku hizo.

      30 Nami nitafanya mambo ya ajabu* mbinguni na duniani,

      Damu na moto na nguzo za moshi.+

      31 Jua litatiwa giza na mwezi utatiwa damu+

      Kabla ya kuja kwa ile siku ya Yehova iliyo kuu na yenye kuogopesha.+

      32 Na kila mtu anayeliitia jina la Yehova ataokolewa;+

      Kwa maana kwenye Mlima Sayuni na katika Yerusalemu kutakuwa na wale wanaosalimika,+ kama Yehova alivyosema,

      Waokokaji wanaoitwa na Yehova.”

  • Waroma 10:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kwa maana “kila mtu anayeliitia jina la Yehova* ataokolewa.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki