29 “Mara tu baada ya dhiki ya siku hizo jua litatiwa giza,+ mwezi hautatoa nuru yake, nyota zitaanguka kutoka mbinguni, na nguvu za mbingu zitatikiswa.+
24 “Lakini katika siku hizo, baada ya dhiki hiyo, jua litatiwa giza, na mwezi hautatoa nuru yake,+25 nazo nyota zitakuwa zikianguka kutoka mbinguni na nguvu zilizo katika mbingu zitatikiswa.
25 “Pia, kutakuwa na ishara katika jua na mwezi na nyota,+ na duniani mataifa yatakuwa na maumivu makali bila kujua cha kufanya kwa sababu ya mngurumo na msukosuko wa bahari.
12 Nami nikaona alipofungua muhuri wa sita, na tetemeko kubwa la ardhi likatokea; na jua likawa jeusi kama gunia la manyoya,* na mwezi mzima ukawa kama damu,+