Yoeli 2:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Jua litatiwa giza na mwezi utatiwa damu+Kabla ya kuja kwa ile siku ya Yehova iliyo kuu na yenye kuogopesha.+ Mathayo 24:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 “Mara tu baada ya dhiki ya siku hizo jua litatiwa giza,+ mwezi hautatoa nuru yake, nyota zitaanguka kutoka mbinguni, na nguvu za mbingu zitatikiswa.+
31 Jua litatiwa giza na mwezi utatiwa damu+Kabla ya kuja kwa ile siku ya Yehova iliyo kuu na yenye kuogopesha.+
29 “Mara tu baada ya dhiki ya siku hizo jua litatiwa giza,+ mwezi hautatoa nuru yake, nyota zitaanguka kutoka mbinguni, na nguvu za mbingu zitatikiswa.+