14 Ile siku kuu ya Yehova iko karibu!+
Iko karibu, nayo inakuja haraka sana!+
Sauti ya siku ya Yehova ni chungu.+
Siku hiyo shujaa atalia kwa sauti.+
15 Siku hiyo ni siku ya ghadhabu,+
Siku ya taabu na maumivu makali,+
Siku ya dhoruba na ukiwa,
Siku ya giza na utusitusi,+
Siku ya mawingu na utusitusi mzito,+