Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 11:13, 14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kwa maana, maneno yote ya Manabii na Sheria yalitabiri hadi wakati wa Yohana;+ 14 na mkitaka kukubali, yeye ndiye ‘Eliya anayepaswa kuja.’+

  • Marko 9:11, 12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Wakaanza kumuuliza: “Kwa nini waandishi husema kwamba lazima Eliya+ aje kwanza?”+ 12 Akawaambia: “Eliya anakuja kwanza na kurudisha mambo yote;+ lakini kwa nini imeandikwa kwamba lazima Mwana wa binadamu apatwe na mateso mengi+ na atendewe kwa dharau?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki