11 Wakaanza kumuuliza: “Kwa nini waandishi husema kwamba lazima Eliya+ aje kwanza?”+12 Akawaambia: “Eliya anakuja kwanza na kurudisha mambo yote;+ lakini kwa nini imeandikwa kwamba lazima Mwana wa binadamu apatwe na mateso mengi+ na atendewe kwa dharau?+