Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 22:6, 7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Lakini mimi ni mnyoo wala si mwanadamu,

      Ninadhihakiwa na wanadamu na kudharauliwa na watu.*+

       7 Wote wanaoniona hunikejeli;+

      Wanafyonya midomo na kutikisa vichwa vyao kwa dharau:+

  • Isaya 50:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Niliwapa mgongo wangu wale waliokuwa wakinipiga

      Na mashavu yangu wale waliozing’oa ndevu zangu.

      Sikuuficha uso wangu kutoka kwa mambo yenye kufedhehesha na kutoka kwa mate.+

  • Isaya 53:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Alidharauliwa na kuepukwa na wanadamu,+

      Mtu aliyekusudiwa kupata* maumivu na aliyezoea magonjwa.

      Ilikuwa kana kwamba uso wake ulifichwa kutoka kwetu.*

      Alidharauliwa, nasi tulimwona kuwa asiye na maana.+

  • Luka 23:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Ndipo Herode na wanajeshi wake wakamtendea kwa dharau,+ naye Herode akamdhihaki+ kwa kumvika vazi la kifahari na kuagiza arudishwe kwa Pilato.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki