Luka 16:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “Sheria na Manabii walikuwa mpaka Yohana. Tangu wakati huo habari njema za Ufalme wa Mungu zinatangazwa, na watu wa namna zote wanajitahidi kuufikia.+
16 “Sheria na Manabii walikuwa mpaka Yohana. Tangu wakati huo habari njema za Ufalme wa Mungu zinatangazwa, na watu wa namna zote wanajitahidi kuufikia.+