Mathayo 11:12, 13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Tangu siku za Yohana Mbatizaji mpaka sasa, Ufalme wa mbinguni ndio mradi ambao watu wanajitahidi kuufikia, na wale wanaojitahidi sana wanaupata.+ 13 Kwa maana, maneno yote ya Manabii na Sheria yalitabiri hadi wakati wa Yohana;+
12 Tangu siku za Yohana Mbatizaji mpaka sasa, Ufalme wa mbinguni ndio mradi ambao watu wanajitahidi kuufikia, na wale wanaojitahidi sana wanaupata.+ 13 Kwa maana, maneno yote ya Manabii na Sheria yalitabiri hadi wakati wa Yohana;+