Yoeli 2:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Jua litatiwa giza na mwezi utatiwa damu+Kabla ya kuja kwa ile siku ya Yehova iliyo kuu na yenye kuogopesha.+ Matendo 2:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Jua litatiwa giza na mwezi utatiwa damu kabla ya kuja kwa ile siku ya Yehova* iliyo kuu na yenye utukufu. 2 Petro 3:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Lakini siku ya Yehova*+ itakuja kama mwizi,+ siku ambayo mbingu zitapitilia mbali+ kwa mngurumo,* lakini vitu vyake vya msingi vikiwa moto sana vitayeyushwa, na dunia na kazi zilizo ndani yake zitafunuliwa.+
31 Jua litatiwa giza na mwezi utatiwa damu+Kabla ya kuja kwa ile siku ya Yehova iliyo kuu na yenye kuogopesha.+
20 Jua litatiwa giza na mwezi utatiwa damu kabla ya kuja kwa ile siku ya Yehova* iliyo kuu na yenye utukufu.
10 Lakini siku ya Yehova*+ itakuja kama mwizi,+ siku ambayo mbingu zitapitilia mbali+ kwa mngurumo,* lakini vitu vyake vya msingi vikiwa moto sana vitayeyushwa, na dunia na kazi zilizo ndani yake zitafunuliwa.+