Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 37:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Bado muda mfupi tu, na watu waovu hawatakuwepo tena;+

      Utapaangalia mahali walipokuwa,

      Nao hawatakuwepo.+

  • Isaya 13:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Tazama! Siku ya Yehova inakuja,

      Ikiwa na ukali na ghadhabu na hasira inayowaka,

      Ili kuifanya nchi iwe kitu cha kutisha,+

      Na kuwaangamiza watenda dhambi wa nchi kutoka ndani yake.

  • Sefania 1:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Fedha yao wala dhahabu yao haitaweza kuwaokoa katika siku ya ghadhabu ya Yehova;+

      Kwa maana dunia yote itateketezwa kwa moto wa bidii yake,+

      Kwa sababu atawaangamiza kabisa wakaaji wote wa dunia, kwa kweli yatakuwa maangamizi yenye kutisha.”+

  • Ufunuo 6:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Na mbingu ikaondoka kama kitabu cha kukunjwa kinachokunjwa,+ na kila mlima na kila kisiwa vikaondolewa mahali pake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki