Sefania 1:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Fedha yao wala dhahabu yao hazitaweza kuwakomboa katika siku ya ghadhabu ya Yehova;+ bali dunia yote itateketezwa kwa moto wa bidii yake,+ kwa sababu atafanya maangamizi, yenye kutisha kwelikweli, ya wakaaji wote wa dunia.”+ Sefania Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 1:18 w01 2/15 16-17; w96 3/1 13 Sefania Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 1:18 Mnara wa Mlinzi,2/15/2001, kur. 16-173/1/1996, uku. 13
18 Fedha yao wala dhahabu yao hazitaweza kuwakomboa katika siku ya ghadhabu ya Yehova;+ bali dunia yote itateketezwa kwa moto wa bidii yake,+ kwa sababu atafanya maangamizi, yenye kutisha kwelikweli, ya wakaaji wote wa dunia.”+