Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 11:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Mali haitakuwa* na faida yoyote siku ya ghadhabu,+

      Lakini uadilifu ndio utakaookoa kutoka katika kifo.+

  • Isaya 2:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Siku hiyo wanadamu watachukua miungu yao ya ubatili ya fedha na dhahabu

      Ambayo walijitengenezea ili waiinamie

      Nao watawatupia panya* na popo,+

  • Ezekieli 7:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 “‘Watatupa fedha yao barabarani, nayo dhahabu yao itawachukiza. Wala fedha yao wala dhahabu yao haitaweza kuwaokoa katika siku ya ghadhabu ya Yehova.+ Hawatashiba,* wala kuyajaza matumbo yao, kwa maana vitu hivyo* vimekuwa kikwazo kinachosababisha kosa lao.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki