Methali 11:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Mali haitakuwa* na faida yoyote siku ya ghadhabu,+Lakini uadilifu ndio utakaookoa kutoka katika kifo.+ Sefania 1:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Fedha yao wala dhahabu yao haitaweza kuwaokoa katika siku ya ghadhabu ya Yehova;+Kwa maana dunia yote itateketezwa kwa moto wa bidii yake,+Kwa sababu atawaangamiza kabisa wakaaji wote wa dunia, kwa kweli yatakuwa maangamizi yenye kutisha.”+
4 Mali haitakuwa* na faida yoyote siku ya ghadhabu,+Lakini uadilifu ndio utakaookoa kutoka katika kifo.+
18 Fedha yao wala dhahabu yao haitaweza kuwaokoa katika siku ya ghadhabu ya Yehova;+Kwa maana dunia yote itateketezwa kwa moto wa bidii yake,+Kwa sababu atawaangamiza kabisa wakaaji wote wa dunia, kwa kweli yatakuwa maangamizi yenye kutisha.”+