Yeremia 31:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa maana Yehova amesema hivi: “Mlilieni Yakobo kwa sauti kubwa kwa kushangilia, na kupaaza kelele mbele ya mataifa.+ Tangazeni jambo hilo.+ Sifuni na kusema, ‘Waokoe, Ee Yehova, watu wako, mabaki ya Israeli.’+
7 Kwa maana Yehova amesema hivi: “Mlilieni Yakobo kwa sauti kubwa kwa kushangilia, na kupaaza kelele mbele ya mataifa.+ Tangazeni jambo hilo.+ Sifuni na kusema, ‘Waokoe, Ee Yehova, watu wako, mabaki ya Israeli.’+