Yeremia 50:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 “Siku hizo na wakati huo,” asema Yehova, “watu wa Israeli na watu wa Yuda watakuja pamoja.+ Watatembea wakilia,+ na pamoja watamtafuta Yehova Mungu wao.+ Zekaria 10:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Nitaifanya nyumba ya Yuda iwe kuu sana,Nami nitaiokoa nyumba ya Yosefu.+ Nitawarudisha,Kwa maana nitawaonyesha rehema;+Nao watakuwa kama watu ambao sijawahi kuwatupa;+Kwa maana mimi ni Yehova Mungu wao, nami nitawajibu.
4 “Siku hizo na wakati huo,” asema Yehova, “watu wa Israeli na watu wa Yuda watakuja pamoja.+ Watatembea wakilia,+ na pamoja watamtafuta Yehova Mungu wao.+
6 Nitaifanya nyumba ya Yuda iwe kuu sana,Nami nitaiokoa nyumba ya Yosefu.+ Nitawarudisha,Kwa maana nitawaonyesha rehema;+Nao watakuwa kama watu ambao sijawahi kuwatupa;+Kwa maana mimi ni Yehova Mungu wao, nami nitawajibu.