12 Atainua ishara* kwa ajili ya mataifa na kuwakusanya watu wa Israeli+ waliotawanywa, na watu wa Yuda waliotawanywa atawakusanya pamoja kutoka katika pembe nne za dunia.+
18 “Siku hizo watatembea pamoja, nyumba ya Yuda kando ya nyumba ya Israeli,+ na pamoja watatoka katika nchi ya kaskazini na kuingia katika nchi niliyowapa mababu zenu kuwa urithi.+
11 Na watu wa Yuda na wa Israeli watakusanywa pamoja ili wawe na umoja+ nao watajichagulia kiongozi mmoja na kupanda kutoka nchini, kwa maana siku ya Yezreeli itakuwa kuu.+