Yeremia 33:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Siku hizo Yuda ataokolewa+ na Yerusalemu litakaa katika usalama.+ Naye ataitwa: Yehova Ni Uadilifu Wetu.’”+ Ezekieli 34:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 “‘“Nitafanya agano la amani pamoja nao,+ na kuwaondoa kabisa nchini wanyama hatari wa mwituni,+ ili wakae kwa usalama nyikani na kulala misituni.+ Hosea 2:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Siku hiyo nitafanya agano na wanyama wa mwituni kwa ajili ya watu wangu,+Pia na ndege wa angani na viumbe wa ardhini wanaotambaa;+Nitaondoa upinde na upanga na vita nchini,+Nami nitawafanya walale* kwa usalama.+ Mika 4:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Wataketi,* kila mtu chini ya mzabibu wake na chini ya mtini wake,+Na hakuna yeyote atakayewaogopesha,+Kwa maana kinywa cha Yehova wa majeshi kimesema hayo.
16 Siku hizo Yuda ataokolewa+ na Yerusalemu litakaa katika usalama.+ Naye ataitwa: Yehova Ni Uadilifu Wetu.’”+
25 “‘“Nitafanya agano la amani pamoja nao,+ na kuwaondoa kabisa nchini wanyama hatari wa mwituni,+ ili wakae kwa usalama nyikani na kulala misituni.+
18 Siku hiyo nitafanya agano na wanyama wa mwituni kwa ajili ya watu wangu,+Pia na ndege wa angani na viumbe wa ardhini wanaotambaa;+Nitaondoa upinde na upanga na vita nchini,+Nami nitawafanya walale* kwa usalama.+
4 Wataketi,* kila mtu chini ya mzabibu wake na chini ya mtini wake,+Na hakuna yeyote atakayewaogopesha,+Kwa maana kinywa cha Yehova wa majeshi kimesema hayo.