Ezekieli 39:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Nao watakuwa wamechukua fedheha+ yao na ukosefu wao wote wa uaminifu ambao wamenitendea,+ wakati watakapokaa katika nchi yao kwa usalama,+ pasipo mtu yeyote wa kuwatetemesha.+
26 Nao watakuwa wamechukua fedheha+ yao na ukosefu wao wote wa uaminifu ambao wamenitendea,+ wakati watakapokaa katika nchi yao kwa usalama,+ pasipo mtu yeyote wa kuwatetemesha.+