Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 2:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Atatekeleza hukumu miongoni mwa mataifa

      Na kunyoosha* mambo kuhusiana na watu wengi.

      Watafua panga zao ziwe majembe ya plau

      Na mikuki yao iwe miundu.+

      Taifa halitainua upanga dhidi ya taifa lingine,

      Wala hawatajifunza vita tena kamwe.+

  • Isaya 35:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Hakuna simba atakayekuwa huko,

      Na hakuna wanyama hatari wa mwituni watakaokuja kwenye njia hiyo.

      Hawatapatikana huko;+

      Wale waliokombolewa tu ndio watakaotembea katika njia hiyo.+

  • Isaya 60:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Ukatili hautasikiwa tena katika nchi yako

      Wala maangamizi na uharibifu katika mipaka yako.+

      Nawe utaziita kuta zako Wokovu+ na malango yako Sifa.

  • Mika 4:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Wataketi,* kila mtu chini ya mzabibu wake na chini ya mtini wake,+

      Na hakuna yeyote atakayewaogopesha,+

      Kwa maana kinywa cha Yehova wa majeshi kimesema hayo.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki