Zaburi 107:2, 3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Wale waliokombolewa* na Yehova na waseme jambo hilo,Wale aliowakomboa kutoka mikononi mwa* adui,+ 3 Wale aliowakusanya pamoja kutoka katika nchi mbalimbali,+Kutoka mashariki na kutoka magharibi,*Kutoka kaskazini na kutoka kusini.+ Isaya 62:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Wataitwa watu watakatifu, wale waliokombolewa na Yehova,+Nawe utaitwa Aliyetafutwa, Jiji Ambalo Halikuachwa.+
2 Wale waliokombolewa* na Yehova na waseme jambo hilo,Wale aliowakomboa kutoka mikononi mwa* adui,+ 3 Wale aliowakusanya pamoja kutoka katika nchi mbalimbali,+Kutoka mashariki na kutoka magharibi,*Kutoka kaskazini na kutoka kusini.+
12 Wataitwa watu watakatifu, wale waliokombolewa na Yehova,+Nawe utaitwa Aliyetafutwa, Jiji Ambalo Halikuachwa.+