Isaya 43:5, 6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Usiogope, kwa maana nipo pamoja nawe.+ Nitauleta uzao wako* kutoka masharikiNa kukukusanya kutoka magharibi.+ 6 Nitaiambia kaskazini, ‘Watoe!’+ Na kusini, ‘Usiwazuie. Walete wanangu kutoka mbali, na mabinti wangu kutoka kwenye miisho ya dunia,+ Yeremia 31:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Ninawarudisha kutoka nchi ya kaskazini.+ Nitawakusanya pamoja kutoka sehemu za mbali zaidi za dunia.+ Miongoni mwao kutakuwa na vipofu na vilema,+Mwanamke mwenye mimba na yule anayezaa, wote pamoja. Watarudi hapa wakiwa kutaniko kubwa.+
5 Usiogope, kwa maana nipo pamoja nawe.+ Nitauleta uzao wako* kutoka masharikiNa kukukusanya kutoka magharibi.+ 6 Nitaiambia kaskazini, ‘Watoe!’+ Na kusini, ‘Usiwazuie. Walete wanangu kutoka mbali, na mabinti wangu kutoka kwenye miisho ya dunia,+ Yeremia 31:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Ninawarudisha kutoka nchi ya kaskazini.+ Nitawakusanya pamoja kutoka sehemu za mbali zaidi za dunia.+ Miongoni mwao kutakuwa na vipofu na vilema,+Mwanamke mwenye mimba na yule anayezaa, wote pamoja. Watarudi hapa wakiwa kutaniko kubwa.+
8 Ninawarudisha kutoka nchi ya kaskazini.+ Nitawakusanya pamoja kutoka sehemu za mbali zaidi za dunia.+ Miongoni mwao kutakuwa na vipofu na vilema,+Mwanamke mwenye mimba na yule anayezaa, wote pamoja. Watarudi hapa wakiwa kutaniko kubwa.+