Isaya 41:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Usiogope, kwa maana mimi niko pamoja nawe.+ Usihangaike, kwa maana mimi ni Mungu wako.+ Nitakutia nguvu, naam, nitakusaidia,+Nitakushika kwelikweli kwa mkono wangu wa kuume wa uadilifu.’ Isaya 44:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Hivi ndivyo anavyosema Yehova,Muumba wako, Yule aliyekutokeza,+Ambaye amekusaidia tangu ulipokuwa tumboni:* ‘Usiogope, mtumishi wangu Yakobo,+Na wewe, Yeshuruni,*+ ambaye nimekuchagua. Yeremia 30:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 “Nawe, mtumishi wangu Yakobo, usiogope,” asema Yehova,“Wala usihofu, Ee Israeli.+ Kwa maana nitakuokoa kutoka mbaliNa uzao wako kutoka katika nchi waliyopelekwa utekwani.+ Yakobo atarudi na kuwa na utulivu bila usumbufu,Na hakuna yeyote atakayewaogopesha.”+
10 Usiogope, kwa maana mimi niko pamoja nawe.+ Usihangaike, kwa maana mimi ni Mungu wako.+ Nitakutia nguvu, naam, nitakusaidia,+Nitakushika kwelikweli kwa mkono wangu wa kuume wa uadilifu.’
2 Hivi ndivyo anavyosema Yehova,Muumba wako, Yule aliyekutokeza,+Ambaye amekusaidia tangu ulipokuwa tumboni:* ‘Usiogope, mtumishi wangu Yakobo,+Na wewe, Yeshuruni,*+ ambaye nimekuchagua.
10 “Nawe, mtumishi wangu Yakobo, usiogope,” asema Yehova,“Wala usihofu, Ee Israeli.+ Kwa maana nitakuokoa kutoka mbaliNa uzao wako kutoka katika nchi waliyopelekwa utekwani.+ Yakobo atarudi na kuwa na utulivu bila usumbufu,Na hakuna yeyote atakayewaogopesha.”+