Kumbukumbu la Torati 32:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Yeshuruni* aliponenepa, alipiga teke kwa uasi. Umenenepa, una mafuta mengi mwilini, tumbo lako limenenepa.+ Basi akamwacha Mungu, aliyemuumba,+Na kumdharau Mwamba wa wokovu wake. Kumbukumbu la Torati 33:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Naye akawa mfalme kule Yeshuruni,*+Viongozi wa watu walipokusanyika pamoja,+Pamoja na makabila yote ya Israeli.+ Kumbukumbu la Torati 33:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Hakuna aliye kama Mungu wa kweli+ wa Yeshuruni,+Anayepita mbinguni kuja kukusaidiaNa kupita juu ya mawingu katika fahari yake.+
15 Yeshuruni* aliponenepa, alipiga teke kwa uasi. Umenenepa, una mafuta mengi mwilini, tumbo lako limenenepa.+ Basi akamwacha Mungu, aliyemuumba,+Na kumdharau Mwamba wa wokovu wake.
5 Naye akawa mfalme kule Yeshuruni,*+Viongozi wa watu walipokusanyika pamoja,+Pamoja na makabila yote ya Israeli.+
26 Hakuna aliye kama Mungu wa kweli+ wa Yeshuruni,+Anayepita mbinguni kuja kukusaidiaNa kupita juu ya mawingu katika fahari yake.+