32 Enyi falme za dunia, mwimbieni Mungu,+
Mwimbieni sifa Yehova, (Sela)
33 Yule anayepanda mbingu ya kale kati ya mbingu.+
Tazama! Hunguruma kwa sauti yake, sauti yake yenye nguvu.
34 Tambueni nguvu za Mungu.+
Fahari yake iko juu ya Israeli,
Na nguvu zake ziko angani.