Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 68:32-34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Enyi falme za dunia, mwimbieni Mungu,+

      Mwimbieni sifa* Yehova, (Sela)

      33 Yule anayepanda mbingu ya kale kati ya mbingu.+

      Tazama! Hunguruma kwa sauti yake, sauti yake yenye nguvu.

      34 Tambueni nguvu za Mungu.+

      Fahari yake iko juu ya Israeli,

      Na nguvu zake ziko angani.*

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki