Kumbukumbu la Torati 32:43 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 43 Furahini, enyi mataifa, pamoja na watu wake,+Kwa maana atailipizia kisasi damu ya watumishi wake,+Atawalipiza kisasi maadui wake+Na kufunika dhambi ya* nchi ya watu wake.”
43 Furahini, enyi mataifa, pamoja na watu wake,+Kwa maana atailipizia kisasi damu ya watumishi wake,+Atawalipiza kisasi maadui wake+Na kufunika dhambi ya* nchi ya watu wake.”