Zaburi 106:47 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 47 Tuokoe, Ee Yehova Mungu wetu,+Na kutukusanya kutoka katika mataifa+Ili tulishukuru jina lako takatifuNa tushangilie kukusifu wewe.*+ Yeremia 29:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Nami nitawaruhusu mnipate,’+ asema Yehova. ‘Nami nitawakusanya mateka wenu na kuwakusanya ninyi pamoja kutoka katika mataifa yote na sehemu zote nilizowatawanya,’+ asema Yehova. ‘Nami nitawarudisha mahali nilipowatoa nikawapeleka uhamishoni.’+
47 Tuokoe, Ee Yehova Mungu wetu,+Na kutukusanya kutoka katika mataifa+Ili tulishukuru jina lako takatifuNa tushangilie kukusifu wewe.*+
14 Nami nitawaruhusu mnipate,’+ asema Yehova. ‘Nami nitawakusanya mateka wenu na kuwakusanya ninyi pamoja kutoka katika mataifa yote na sehemu zote nilizowatawanya,’+ asema Yehova. ‘Nami nitawarudisha mahali nilipowatoa nikawapeleka uhamishoni.’+