Isaya 11:6, 7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Mbwamwitu atakaa pamoja na mwanakondoo kwa muda fulani,+Na chui atalala pamoja na mwanambuzi,Na ndama na simba* na mnyama aliyenoneshwa wote watakuwa pamoja;*+Na mvulana mdogo atawaongoza. 7 Ng’ombe na dubu watakula pamoja,Na watoto wao watalala pamoja. Simba atakula majani kama ng’ombe dume.+ Isaya 65:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Mbwamwitu na mwanakondoo watalisha pamoja,Simba atakula majani kama ng’ombe dume,+Na chakula cha nyoka kitakuwa mavumbi. Hawatadhuru wala kusababisha uharibifu wowote katika mlima wangu wote mtakatifu,”+ asema Yehova. Ezekieli 34:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 “‘“Nitafanya agano la amani pamoja nao,+ na kuwaondoa kabisa nchini wanyama hatari wa mwituni,+ ili wakae kwa usalama nyikani na kulala misituni.+ Hosea 2:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Siku hiyo nitafanya agano na wanyama wa mwituni kwa ajili ya watu wangu,+Pia na ndege wa angani na viumbe wa ardhini wanaotambaa;+Nitaondoa upinde na upanga na vita nchini,+Nami nitawafanya walale* kwa usalama.+
6 Mbwamwitu atakaa pamoja na mwanakondoo kwa muda fulani,+Na chui atalala pamoja na mwanambuzi,Na ndama na simba* na mnyama aliyenoneshwa wote watakuwa pamoja;*+Na mvulana mdogo atawaongoza. 7 Ng’ombe na dubu watakula pamoja,Na watoto wao watalala pamoja. Simba atakula majani kama ng’ombe dume.+
25 Mbwamwitu na mwanakondoo watalisha pamoja,Simba atakula majani kama ng’ombe dume,+Na chakula cha nyoka kitakuwa mavumbi. Hawatadhuru wala kusababisha uharibifu wowote katika mlima wangu wote mtakatifu,”+ asema Yehova.
25 “‘“Nitafanya agano la amani pamoja nao,+ na kuwaondoa kabisa nchini wanyama hatari wa mwituni,+ ili wakae kwa usalama nyikani na kulala misituni.+
18 Siku hiyo nitafanya agano na wanyama wa mwituni kwa ajili ya watu wangu,+Pia na ndege wa angani na viumbe wa ardhini wanaotambaa;+Nitaondoa upinde na upanga na vita nchini,+Nami nitawafanya walale* kwa usalama.+