Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 11:6, 7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Mbwamwitu atakaa pamoja na mwanakondoo kwa muda fulani,+

      Na chui atalala pamoja na mwanambuzi,

      Na ndama na simba* na mnyama aliyenoneshwa wote watakuwa pamoja;*+

      Na mvulana mdogo atawaongoza.

       7 Ng’ombe na dubu watakula pamoja,

      Na watoto wao watalala pamoja.

      Simba atakula majani kama ng’ombe dume.+

  • Isaya 65:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Mbwamwitu na mwanakondoo watalisha pamoja,

      Simba atakula majani kama ng’ombe dume,+

      Na chakula cha nyoka kitakuwa mavumbi.

      Hawatadhuru wala kusababisha uharibifu wowote katika mlima wangu wote mtakatifu,”+ asema Yehova.

  • Ezekieli 34:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 “‘“Nitafanya agano la amani pamoja nao,+ na kuwaondoa kabisa nchini wanyama hatari wa mwituni,+ ili wakae kwa usalama nyikani na kulala misituni.+

  • Hosea 2:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Siku hiyo nitafanya agano na wanyama wa mwituni kwa ajili ya watu wangu,+

      Pia na ndege wa angani na viumbe wa ardhini wanaotambaa;+

      Nitaondoa upinde na upanga na vita nchini,+

      Nami nitawafanya walale* kwa usalama.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki