Hosea 2:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Siku hiyo nitafanya agano na wanyama wa mwituni kwa ajili ya watu wangu,+Pia na ndege wa angani na viumbe wa ardhini wanaotambaa;+Nitaondoa upinde na upanga na vita nchini,+Nami nitawafanya walale* kwa usalama.+
18 Siku hiyo nitafanya agano na wanyama wa mwituni kwa ajili ya watu wangu,+Pia na ndege wa angani na viumbe wa ardhini wanaotambaa;+Nitaondoa upinde na upanga na vita nchini,+Nami nitawafanya walale* kwa usalama.+