Isaya 65:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 “Mbwa-mwitu+ na mwana-kondoo watalisha kama kitu kimoja,+ na simba atakula majani kama ng’ombe;+ na kuhusu nyoka, chakula chake kitakuwa mavumbi.+ Hawatadhuru+ wala kufanya uharibifu wowote katika mlima wangu wote mtakatifu,”+ Yehova amesema. Isaya Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 65:25 w12 9/15 9-10; ip-2 387-388; w00 4/15 17-18 Isaya Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 65:25 Mnara wa Mlinzi,9/15/2012, kur. 9-104/15/2000, kur. 17-18 Unabii wa Isaya II, kur. 387-388 Usalama Ulimwenguni Pote, kur. 174-175
25 “Mbwa-mwitu+ na mwana-kondoo watalisha kama kitu kimoja,+ na simba atakula majani kama ng’ombe;+ na kuhusu nyoka, chakula chake kitakuwa mavumbi.+ Hawatadhuru+ wala kufanya uharibifu wowote katika mlima wangu wote mtakatifu,”+ Yehova amesema.
65:25 Mnara wa Mlinzi,9/15/2012, kur. 9-104/15/2000, kur. 17-18 Unabii wa Isaya II, kur. 387-388 Usalama Ulimwenguni Pote, kur. 174-175