Yeremia 3:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Wakati huo wataliita Yerusalemu kiti cha ufalme cha Yehova;+ na mataifa yote yatakusanywa pamoja kwa jina la Yehova katika Yerusalemu,+ nao hawataufuata tena kwa ukaidi moyo wao mwovu.” Yoeli 3:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Lakini Yuda itakaliwa daima,Na Yerusalemu kizazi baada ya kizazi.+ Amosi 9:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Nitawakusanya na kuwarudisha watu wangu Waisraeli walio utekwani,+Nao watajenga upya majiji yaliyoachwa ukiwa na kuishi humo;+Watapanda mashamba ya mizabibu na kunywa divai yake,+Nao watalima bustani za matunda na kula matunda yake.’+
17 Wakati huo wataliita Yerusalemu kiti cha ufalme cha Yehova;+ na mataifa yote yatakusanywa pamoja kwa jina la Yehova katika Yerusalemu,+ nao hawataufuata tena kwa ukaidi moyo wao mwovu.”
14 Nitawakusanya na kuwarudisha watu wangu Waisraeli walio utekwani,+Nao watajenga upya majiji yaliyoachwa ukiwa na kuishi humo;+Watapanda mashamba ya mizabibu na kunywa divai yake,+Nao watalima bustani za matunda na kula matunda yake.’+