Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 48:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Mambo tuliyosikia, tumejionea wenyewe

      Katika jiji la Yehova wa majeshi, katika jiji la Mungu wetu.

      Mungu ataliimarisha kabisa milele.+ (Sela)

  • Isaya 33:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Tazama Sayuni, jiji la sherehe zetu!+

      Macho yako yataona Yerusalemu kama makao matulivu,

      Hema ambalo halitaondolewa.+

      Vigingi vyake vya mahema havitang’olewa kamwe,

      Na hakuna kamba yake yoyote itakayokatwa.

  • Isaya 60:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Badala ya kuwa aliyeachwa na kuchukiwa, bila yeyote kupita ndani yako,+

      Nitakufanya uwe chanzo cha fahari ya milele,

      Chanzo cha shangwe kwa vizazi vyote.+

  • Amosi 9:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 ‘Nitawapanda katika nchi yao,

      Nao hawatang’olewa tena kamwe

      Kutoka katika nchi yao ambayo nimewapa,’+ asema Yehova Mungu wenu.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki