Zaburi 48:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Mambo tuliyosikia, tumejionea wenyeweKatika jiji la Yehova wa majeshi, katika jiji la Mungu wetu. Mungu ataliimarisha kabisa milele.+ (Sela) Isaya 33:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Tazama Sayuni, jiji la sherehe zetu!+ Macho yako yataona Yerusalemu kama makao matulivu,Hema ambalo halitaondolewa.+ Vigingi vyake vya mahema havitang’olewa kamwe,Na hakuna kamba yake yoyote itakayokatwa. Isaya 60:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Badala ya kuwa aliyeachwa na kuchukiwa, bila yeyote kupita ndani yako,+Nitakufanya uwe chanzo cha fahari ya milele,Chanzo cha shangwe kwa vizazi vyote.+ Amosi 9:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 ‘Nitawapanda katika nchi yao,Nao hawatang’olewa tena kamweKutoka katika nchi yao ambayo nimewapa,’+ asema Yehova Mungu wenu.”
8 Mambo tuliyosikia, tumejionea wenyeweKatika jiji la Yehova wa majeshi, katika jiji la Mungu wetu. Mungu ataliimarisha kabisa milele.+ (Sela)
20 Tazama Sayuni, jiji la sherehe zetu!+ Macho yako yataona Yerusalemu kama makao matulivu,Hema ambalo halitaondolewa.+ Vigingi vyake vya mahema havitang’olewa kamwe,Na hakuna kamba yake yoyote itakayokatwa.
15 Badala ya kuwa aliyeachwa na kuchukiwa, bila yeyote kupita ndani yako,+Nitakufanya uwe chanzo cha fahari ya milele,Chanzo cha shangwe kwa vizazi vyote.+
15 ‘Nitawapanda katika nchi yao,Nao hawatang’olewa tena kamweKutoka katika nchi yao ambayo nimewapa,’+ asema Yehova Mungu wenu.”