Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 36:20, 21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Aliwachukua mateka na kuwapeleka Babiloni wale ambao hawakuuawa kwa upanga,+ nao wakawa watumishi wake+ na wa wanawe mpaka ufalme wa Uajemi ulipoanza kutawala,+ 21 ili kutimiza neno la Yehova lililosemwa na Yeremia,+ mpaka nchi ilipolipa sabato zake.+ Sikuzote ilipokuwa ukiwa ilishika sabato, ili kutimiza miaka 70.+

  • Isaya 49:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Lakini Sayuni aliendelea kusema:

      “Yehova ameniacha,+ na Yehova amenisahau.”+

  • Yeremia 30:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 “Lakini nitakurudishia afya yako na kuyaponya majeraha yako,”+ asema Yehova,

      “Ingawa walikuita mtu aliyetengwa:

      ‘Sayuni, asiyetafutwa na yeyote.’”+

  • Maombolezo 1:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Barabara zinazoelekea Sayuni zinaomboleza, kwa sababu hakuna yeyote anayekuja kwenye sherehe.+

      Malango yake yote yamebaki ukiwa;+ makuhani wake wanalia kwa uchungu.

      Mabikira* wake wanaomboleza, naye analia kwa maumivu makali.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki