Yeremia 4:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Na wakati huo watu hawa na Yerusalemu wataambiwa hivi: “Kuna upepo unaokausha wa mapito ya nyikani+ kwenye njia ya kwenda kwa binti ya watu wangu;+ si wa kupepeta, wala wa kusafisha. Luka 21:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 “Zaidi ya hayo, mtakapoona Yerusalemu limezingirwa+ na majeshi yaliyopiga kambi, ndipo jueni kwamba kufanywa ukiwa kwake kumekaribia.+
11 Na wakati huo watu hawa na Yerusalemu wataambiwa hivi: “Kuna upepo unaokausha wa mapito ya nyikani+ kwenye njia ya kwenda kwa binti ya watu wangu;+ si wa kupepeta, wala wa kusafisha.
20 “Zaidi ya hayo, mtakapoona Yerusalemu limezingirwa+ na majeshi yaliyopiga kambi, ndipo jueni kwamba kufanywa ukiwa kwake kumekaribia.+